Hidden fields
  1. My library
  2. Help
  3. Advanced Book Search

Books

this user's libraryResults 1-10 of 17

  • Custom Ordering
  • Default Ordering
1

KITABU CHA MATUNDA: Matunda na faida zake

Rajabu Athuman - 2019 - Limited preview
Mwili unahitaji virutubisho ili upate kumea vyema. matunda ni mojawapo ya vyakula vyenye virutubisho hivyo. Ukiacha mbali mafuta, protini na maji yaliyomo kwenye matunda ila pia matunda ni chanzo kizuri cha vitamini kweti. Kitabu hiki ...
2

KITABU CHA DUA 120: Kitabu cha dua sehemu ya pili.

Rajabu Athuman - 2019 - Limited preview
Huu ni mwendelezo wa kitabu chetu cha Dua. Na hapa tutakuletea baadhi ya dua fupi ambazo tunatakiwa kuzifahamu na kuzitumia katika maisha ya kila siku. Kitabu hiki kimekusanya zaidi ya dua 120, kwa lugha ya kiswahili na maana zao na kuonesha wapi ...
3

ALIF LELA U LELA: Hadithi za Alif lela u lela

Rajabu Athuman - 2019 - Limited preview
Hizi ni hadithi za zamani na zimeenea karibia duniani kote. Hadithi hizi zimekuwa zikiwaburudisha watoto kwa wakubwa kwa miaka mingi sana. Hadithi hizi zimekuwa zikitumia lugha iliyo ngumu sana. Baada ya kuliona hilo nimejaribu kuzitohoa hadithi ...
4

KITABU CHA SWALA: jifunze namna ya kuswali

Rajabu Athuman - 2019 - Full view
Kitabu cha swala na mafundisho yake.
5

HADITHI ZA SINBAD: safari saba za Sinbad

Rajabu Athuman - Limited preview
Sinbad ni msafiri wa majini, katika maisha yake amewahi kushuhudia kaburi lake zaidi ya mara saba katika safari 7. Soma hadithi hii upate kujuwa makubwa na majonzi yalompata.
6

KITABU CHA MASHAIRI: Sukari ya mashairi

Hassan Issa Bakari - 2019 - Limited preview
Karibu kwenye uwanja wa malenga chipkizi upate kujisomea mashairi ya washairi wetu wapy.
7

DONDOO 100 ZA AFYA: mambo 100 kuhusu Afya

Rajabu Athuman - 2019 - Limited preview
Kitabu hiki kinakwenda kukuonesha mambo 100 kuhusu Afya.
8

Kitabu cha Dua: Dua

Rajabu Athuman - 2019 - Full view
Hiki ni kitabu kinachotoa mafundisho ya Dua. Mtume Muhammad s.a.w amesisitiza sana kuomba dua mpaka akasema kuwa "ambaye hamuombu dua Allah, (Mwenyezimungu )humchukia mtu huyo". Kwa pamoja tumekuleteeni kitabu hiki kilichosheheni mafunzo ya dua ...
9

QURAN NA SAYANSI

Rajabu Athuman - Limited preview
10

HADITHI NA SUNNAH

Rajabu Athuman - Limited preview