Ahlul Bayt: Ni Nani, Si NaniAhlul Bayt Centre Hiki ni cha pili katika mfululizo wa vitabu vilivyokusudiwa kujibu shutuma na madai ya Sheikh Juma Moh’d Al-Mazrui dhidi ya itikadi na imani za Shia Ithna-ashariyya aliyoyaandika katika kitabu chake alichokiita Al-Qistasu Al-Mustaqim (Mezani ya Haki). Katika kitabu hiki Sheikh Abdilahi Nassir anayajibu yale yaliyoandikwa na Sheikh Al-Mazrui katika Sura ya Tatu na ya Nne ya kitabu chake hicho (uk. 43-114) ya kudai kwamba muradi wa neno ahlul bayt katika Sura 33:33 ni “wake wa Mtume (s.a.w.w.)” si “ahlul-kisaa” kama walivyoshikilia machia na wengi sana wa wanavyuoni wa kisunni. Ameyajibu hayo kwa kuzijadili kiilimu na kimantiki hujja alizozitegemea Sheikh Al-Mazrui za “sibaaq na siyaaq, kanuni za kiusuli na hujja za kilugha” |
Common terms and phrases
Abii Abuu Ahmad b Alii a.s. Alii b aliyefariki amesema amri Anas anataka kuwaondolea nyinyi aya nyengine aya ya 33 baadhi baina bali bayt katika Sura Bibi Aisha Bibi Ummu Salamah dhamiri ya kike enyi Hadith hizo Hadith sahihi Hakika Mwenyezi Mungu Hasan na Husein herufi INNA hujja zake humu uk Ibn Abbas Idris ijapokuwa Ikrimah illa imekuja Imepokewa isemayo katazo khaswa kilugha Kisha kisunni kitabu chake kuanzia uk kufasiria kuifasiri Qur’ani kuwaondolea nyinyi uchafu lina madhihabi Madina Majibu makatazo Makka mantiki mashia maswahaba mfano Mtume Muhammad Mtume s.a.w.w. Mtume wa Mwenyezi Muhammad b Mungu anataka kuwaondolea muradi wa neno Mwenyezi Mungu anataka Mwenyezi Mungu s.a.w.w. Nabii ndugu msomaji neno ahl neno ahlul bayt neno hilo riwaya nyengine Sahih Muslim sanad Sheikh Mazrui shekhe wetu huyo Shia sibaaq na siyaaq Sunnah swala tafsiri Tuangalie ushahidi utayapata vitabu vyao wahubiriwa wakubwa wakubwa wanavyuoni wanawake watano zile